فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?


فِيهِمَا عَيۡنَانِ نَضَّاخَتَانِ

Na chemchem mbili zinazo furika.


فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?


فِيهِمَا فَٰكِهَةٞ وَنَخۡلٞ وَرُمَّانٞ

Imo humo miti ya matunda, na mitende na mikomamanga.


فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?


فِيهِنَّ خَيۡرَٰتٌ حِسَانٞ

Humo wamo wanawake wema wazuri.


فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?


حُورٞ مَّقۡصُورَٰتٞ فِي ٱلۡخِيَامِ

Wanawake wazuri wanao tawishwa katika makhema.


فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ

Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?


لَمۡ يَطۡمِثۡهُنَّ إِنسٞ قَبۡلَهُمۡ وَلَا جَآنّٞ

Hajawagusa mtu wala jini kabla yao.



الصفحة التالية
Icon