وَأَمَّآ إِن كَانَ مِنَ ٱلۡمُكَذِّبِينَ ٱلضَّآلِّينَ

Na ama akiwa katika walio kadhibisha wapotovu,


فَنُزُلٞ مِّنۡ حَمِيمٖ

Basi karamu yake ni maji yanayo chemka,


وَتَصۡلِيَةُ جَحِيمٍ

Na kutiwa Motoni.


إِنَّ هَٰذَا لَهُوَ حَقُّ ٱلۡيَقِينِ

Hakika hii ndiyo haki yenye yakini.


فَسَبِّحۡ بِٱسۡمِ رَبِّكَ ٱلۡعَظِيمِ

Basi litakase jina la Mola wako Mlezi aliye Mkubwa.



الصفحة التالية
Icon