قَالُواْ لَمۡ نَكُ مِنَ ٱلۡمُصَلِّينَ

Waseme: Hatukuwa miongoni walio kuwa wakisali.


وَلَمۡ نَكُ نُطۡعِمُ ٱلۡمِسۡكِينَ

Wala hatukuwa tukiwalisha masikini.


وَكُنَّا نَخُوضُ مَعَ ٱلۡخَآئِضِينَ

Na tulikuwa tukizama pamoja na walio zama katika maovu.


وَكُنَّا نُكَذِّبُ بِيَوۡمِ ٱلدِّينِ

Na tulikuwa tukiikanusha siku ya malipo.


حَتَّىٰٓ أَتَىٰنَا ٱلۡيَقِينُ

Mpaka yakini ilipo tufikia.


فَمَا تَنفَعُهُمۡ شَفَٰعَةُ ٱلشَّـٰفِعِينَ

Basi hautawafaa kitu uombezi wa waombezi.


فَمَا لَهُمۡ عَنِ ٱلتَّذۡكِرَةِ مُعۡرِضِينَ

Basi wana nini hata wanapuuza onyo hili?


كَأَنَّهُمۡ حُمُرٞ مُّسۡتَنفِرَةٞ

Kama kwamba wao ni mapunda walio timuliwa,


فَرَّتۡ مِن قَسۡوَرَةِۭ

Wanao mkimbia simba!


بَلۡ يُرِيدُ كُلُّ ٱمۡرِيٕٖ مِّنۡهُمۡ أَن يُؤۡتَىٰ صُحُفٗا مُّنَشَّرَةٗ

Ati kila mmoja katika wao anataka apewe nyaraka zilizo funuliwa.



الصفحة التالية
Icon