فَلۡيَنظُرِ ٱلۡإِنسَٰنُ إِلَىٰ طَعَامِهِۦٓ

Hebu mtu na atazame chakula chake.


أَنَّا صَبَبۡنَا ٱلۡمَآءَ صَبّٗا

Hakika Sisi tumemimina maji kwa nguvu,


ثُمَّ شَقَقۡنَا ٱلۡأَرۡضَ شَقّٗا

Tena tukaipasua pasua ardhi kwa nguvu,


فَأَنۢبَتۡنَا فِيهَا حَبّٗا

Kisha tukaotesha humo nafaka,


وَعِنَبٗا وَقَضۡبٗا

Na zabibu, na mimea ya majani,


وَزَيۡتُونٗا وَنَخۡلٗا

Na mizaituni, na mitende,


وَحَدَآئِقَ غُلۡبٗا

Na bustani zenye miti iliyo songana baraabara,


وَفَٰكِهَةٗ وَأَبّٗا

Na matunda, na malisho ya wanyama;


مَّتَٰعٗا لَّكُمۡ وَلِأَنۡعَٰمِكُمۡ

Kwa manufaa yenu na mifugo yenu.


فَإِذَا جَآءَتِ ٱلصَّآخَّةُ

Basi utakapo kuja ukelele,


يَوۡمَ يَفِرُّ ٱلۡمَرۡءُ مِنۡ أَخِيهِ

Siku ambayo mtu atamkimbia nduguye,



الصفحة التالية
Icon