وَإِذَا قُرِئَ عَلَيۡهِمُ ٱلۡقُرۡءَانُ لَا يَسۡجُدُونَۤ۩

Na wanapo somewa Qur'ani hawasujudu?


بَلِ ٱلَّذِينَ كَفَرُواْ يُكَذِّبُونَ

Bali walio kufuru wanakanusha tu.


وَٱللَّهُ أَعۡلَمُ بِمَا يُوعُونَ

Na Mwenyezi Mungu anajua wanayo yadhamiria.


فَبَشِّرۡهُم بِعَذَابٍ أَلِيمٍ

Basi wabashirie adhabu chungu!


إِلَّا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ وَعَمِلُواْ ٱلصَّـٰلِحَٰتِ لَهُمۡ أَجۡرٌ غَيۡرُ مَمۡنُونِۭ

Isipo kuwa wale walio amini na wakatenda mema; hao watakuwa na ujira usio malizika.



الصفحة التالية
Icon