فِرۡعَوۡنَ وَثَمُودَ

Ya Firauni na Thamudi?


بَلِ ٱلَّذِينَ كَفَرُواْ فِي تَكۡذِيبٖ

Lakini walio kufuru wamo katika kukadhibisha.


وَٱللَّهُ مِن وَرَآئِهِم مُّحِيطُۢ

Na Mwenyezi Mungu nyuma yao amewazunguka.


بَلۡ هُوَ قُرۡءَانٞ مَّجِيدٞ

Bali hii ni Qur'ani tukufu


فِي لَوۡحٖ مَّحۡفُوظِۭ

Katika Ubao Ulio Hifadhiwa.



الصفحة التالية
Icon