وَكَأَيِّن مِّن قَرۡيَةٍ عَتَتۡ عَنۡ أَمۡرِ رَبِّهَا وَرُسُلِهِۦ فَحَاسَبۡنَٰهَا حِسَابٗا شَدِيدٗا وَعَذَّبۡنَٰهَا عَذَابٗا نُّكۡرٗا
Na miji mingapi iliyo vunja amri ya Mola wake Mlezi na Mitume wake, basi tuliihisabia hisabu ngumu na tukaiadhibu kwa adhabu kali.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na kuna vitongoji vingi ambavyo watu wake waliasi amri ya Mwenyezi Mungu na amri ya Mitume Wake na wakaendelea kwenye ukiukaji wao na ukafiri wao,
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس