Al-Mursalat


وَٱلۡمُرۡسَلَٰتِ عُرۡفٗا

Naapa kwa zinazo tumwa kwa upole!


فَٱلۡعَٰصِفَٰتِ عَصۡفٗا

Na zinazo vuma kwa kasi!


وَٱلنَّـٰشِرَٰتِ نَشۡرٗا

Na zikaeneza maeneo yote!


فَٱلۡفَٰرِقَٰتِ فَرۡقٗا

Na zinazo farikisha zikatawanya!


فَٱلۡمُلۡقِيَٰتِ ذِكۡرًا

Na zinazo peleka mawaidha!


عُذۡرًا أَوۡ نُذۡرًا

Kwa kuudhuru au kuonya,


إِنَّمَا تُوعَدُونَ لَوَٰقِعٞ

Hakika mnayo ahidiwa bila ya shaka yatakuwa!


فَإِذَا ٱلنُّجُومُ طُمِسَتۡ

Wakati nyota zitakapo futwa,


وَإِذَا ٱلسَّمَآءُ فُرِجَتۡ

Na mbingu zitakapo pasuliwa,


وَإِذَا ٱلۡجِبَالُ نُسِفَتۡ

Na milima itakapo peperushwa,


وَإِذَا ٱلرُّسُلُ أُقِّتَتۡ

Na Mitume watakapo wekewa wakati wao,



الصفحة التالية
Icon