An-Takwir


إِذَا ٱلشَّمۡسُ كُوِّرَتۡ

Jua litakapo kunjwa,


وَإِذَا ٱلنُّجُومُ ٱنكَدَرَتۡ

Na nyota zikazimwa,


وَإِذَا ٱلۡجِبَالُ سُيِّرَتۡ

Na milima ikaondolewa,


وَإِذَا ٱلۡعِشَارُ عُطِّلَتۡ

Na ngamia wenye mimba pevu watakapo achwa wasishughulikiwe,


وَإِذَا ٱلۡوُحُوشُ حُشِرَتۡ

Na wanyama wa mwituni wakakusanywa,


وَإِذَا ٱلۡبِحَارُ سُجِّرَتۡ

Na bahari zikawaka moto,


وَإِذَا ٱلنُّفُوسُ زُوِّجَتۡ

Na nafsi zikaunganishwa,


وَإِذَا ٱلۡمَوۡءُۥدَةُ سُئِلَتۡ

Na msichana aliye zikwa hai atapo ulizwa,


بِأَيِّ ذَنۢبٖ قُتِلَتۡ

Kwa kosa gani aliuliwa?


وَإِذَا ٱلصُّحُفُ نُشِرَتۡ

Na madaftari yatakapo enezwa,


وَإِذَا ٱلسَّمَآءُ كُشِطَتۡ

Na mbingu itapo tanduliwa,



الصفحة التالية
Icon