ﰒ
                    surah.translation
            .
            
                            
            
    ﰡ
                                                                                                                
                                    ﭴ
                                    ﰀ
                                                                        
                    Al-Kari'ah
Inayo gonga!
                                                                                                                
                                    ﭶﭷ
                                    ﰁ
                                                                        
                    Nini Inayo gonga?
Na nini kitacho kujuilisha nini Inayo gonga?
Siku ambayo watu watakuwa kama nondo walio tawanyika;
Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!
Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,
Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza.
Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu,
                                                                                                                
                                    ﮘﮙ
                                    ﰈ
                                                                        
                    Huyo maskani yake yatakuwa Moto wa Hawiya!
Na nini kitacho kujuilisha nini hiyo?
                                                                                                                
                                    ﮠﮡ
                                    ﰊ
                                                                        
                    Ni Moto mkali!