سورة العاديات

Ali Muhsin Al - Swahili translation

Fassarar Surar Al-Adiyat a السواحلية daga Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

Verse 1

Al-Adiyat


Naapa kwa farasi wendao mbio wakipumua,
Verse 2

Na wakitoa moto kwa kupiga kwato zao chini,

Kuwa hakika Mola wao Mlezi siku hiyo bila ya shaka atakuwa na khabari zao wote!
تقدم القراءة