سورة التغابن

Ali Muhsin Al - Swahili translation

სურა التغابن -ის თარგმანი السواحلية ენაზე Ali Muhsin Al - Swahili translation-დან

Ali Muhsin Al - Swahili translation


Hayo ni kwa kuwa walikuwa wakiwajia Mitume wao kwa hoja zilizo wazi, nao wakasema: Hivyo binaadamu ndio atuongoe? Basi wakakufuru, na wakageuka upande. Mwenyezi Mungu akawa hana haja nao. Na Mwenyezi Mungu ni Mkwasi, si mhitaji, naye ni Msifiwa.
تقدم القراءة