سورة الزلزلة

الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس

სურა الزلزلة -ის თარგმანი السواحلية ენაზე الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس-დან

الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس

Verse 2
Na ikatoa vilivyomo ndani yake: wafu na makandi.
Verse 4
Siku ya Kiyama ardhi itatoa habari ya mambo iliyofanyiwa ya uzuri na ubaya.
Verse 5
kwa kuwa Mwenyezi Mungu, Aliyetakasika na kutukuka, Ameiamuru itoe habari ya mambo iliyofanyiwa.
Siku hiyo wataondoka kutoka kwenye kisimamo cha Hesabu wakiwa makundi, ili Mwenyezi Mungu Awaoneshe waliyoyatenda, mazuri na mabaya, na Awalipe kwayo.
تقدم القراءة