سورة الدخان

Ali Muhsin Al - Swahili translation

Hiikkaa Suura الدّخان السواحلية keessatti Ali Muhsin Al - Swahili translation irraa

Ali Muhsin Al - Swahili translation


Nami najikinga kwa Mola wangu Mlezi na ndiye Mola wenu Mlezi pia, ili msinipige mawe.

Mwenyezi Mungu akasema: Basi nenda na waja wangu usiku. Kwa yakini mtafuatwa.

Basi tumeifanya nyepesi hii Qur'ani kwa ulimi wako, ili wapate kukumbuka.
تقدم القراءة