سورة الإنسان

Ali Muhsin Al - Swahili translation

د Ali Muhsin Al - Swahili translation څخه په السواحلية کې د الإنسان سورې ژباړه

Ali Muhsin Al - Swahili translation


Hakika Sisi tumemuumba mtu kutokana na mbegu ya uhai iliyo changanyika, tumfanyie mtihani. Kwa hivyo tukamfanya mwenye kusikia, mwenye kuona.

Na atawajazi Bustani za Peponi na maguo ya hariri kwa vile walivyo subiri.

Na vivuli vyake vitakuwa karibu yao, na mashada ya matunda yataning'inia mpaka chini.
تقدم القراءة