سورة فاطر

Ali Muhsin Al - Swahili translation

Salin ng Sura Ang Lumikha sa السواحلية mula sa Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation


Ili Yeye awalipe ujira wao kwa ukamilifu, na awazidishie kutokana na fadhila zake. Hakika Yeye ni Mwenye kusamehe Mwenye shukrani.

Na watasema: Alhamdulillahi, Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu aliye tuondolea huzuni zote. Hakika Mola wetu Mlezi bila ya shaka ni Mwenye kusamehe, Mwenye shukrani.
تقدم القراءة