سورة القمر

Ali Muhsin Al - Swahili translation

Tłumaczenie Sury القمر na السواحلية z Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation


Basi akamwomba Mola wake Mlezi akasema: Kwa hakika mimi nimeshindwa, basi ninusuru!

Na hakika yeye aliwaonya adhabu yetu; lakini wao waliyatilia shaka hayo maonyo.

Walizikadhibisha Ishara zetu zote, nasi tukawashika kama anavyo shika Mwenye nguvu Mwenye uweza.
تقدم القراءة