سورة ص

Ali Muhsin Al - Swahili translation

ترجمة معاني سورة ص باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

آية رقم 19

Na pia ndege walio kusanywa makundi kwa makundi; wote walikuwa wanyenyekevu kwake.
آية رقم 37

Na tukayafanya mashet'ani yamtumikie, wote wajenzi na wapiga mbizi.
آية رقم 40

Na hakika yeye kwetu Sisi ana cheo cha kukaribishwa kwetu, na pahala pazuri pa kurejea.
آية رقم 42

(Akaambiwa:) Piga-piga ardhi kwa mguu wako! Basi haya maji baridi ya kuogea na ya kunywa.
آية رقم 55

Ndio hivi! Na hakika wenye kuasi bila ya shaka watapata marudio maovu kabisa;
آية رقم 56

Nayo ni Jahannamu! Wataingia humo. Nacho hicho ni kitanda kiovu mno cha kulalia.
آية رقم 57

Ndio hivi! Basi na wayaonje maji ya moto na ya usaha!
آية رقم 80

Mwenyezi Mungu akasema: Basi umekwisha kuwa miongoni mwa walio pewa muhula,
آية رقم 82

Akasema (Iblisi): Naapa kwa utukufu wako, bila ya shaka nitawapoteza wote,
آية رقم 83

Isipo kuwa wale waja wako miongoni mwao walio khitariwa.
آية رقم 85

Bila ya shaka nitaijaza Jahannamu kwa wewe na kwa hao wote wenye kukufuata miongoni mwao.
آية رقم 88

Na bila ya shaka mtajua khabari zake baada ya muda.
تقدم القراءة