ترجمة معاني سورة الضحى باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation
آية رقم 1
ﮉ
ﮊ
Ad-Dhuhah
Naapa kwa mchana!
آية رقم 2
ﮋﮌﮍ
ﮎ
Na kwa usiku unapo tanda!
آية رقم 3
ﮏﮐﮑﮒﮓ
ﮔ
Mola wako Mlezi hakukuacha, wala hakukasirika nawe.
آية رقم 4
ﮕﮖﮗﮘﮙ
ﮚ
Na bila ya shaka wakati ujao utakuwa bora kwako kuliko ulio tangulia.
آية رقم 5
ﮛﮜﮝﮞ
ﮟ
Na Mola wako Mlezi atakupa mpaka uridhike.
آية رقم 6
ﮠﮡﮢﮣ
ﮤ
Kwani hakukukuta yatima akakupa makaazi?
آية رقم 7
ﮥﮦﮧ
ﮨ
Na akakukuta umepotea akakuongoa?
آية رقم 8
ﮩﮪﮫ
ﮬ
Akakukuta mhitaji akakutosheleza?
آية رقم 9
ﮭﮮﮯﮰ
ﮱ
Basi yatima usimwonee!
آية رقم 10
ﯓﯔﯕﯖ
ﯗ
Na anaye omba au kuuliza usimkaripie!
آية رقم 11
ﯘﯙﯚﯛ
ﯜ
Na neema za Mola wako Mlezi zisimlie.
تقدم القراءة