سورة المطففين

Ali Muhsin Al - Swahili translation

ترجمة معاني سورة المطفّفين باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

آية رقم 1

Al-Mutaffifin


Ole wao hao wapunjao!
آية رقم 10

Ole wao siku hiyo kwa wanao kadhibisha!
آية رقم 15

Hasha! Hakika hao siku hiyo bila ya shaka watazuiliwa na neema za Mola wao Mlezi.
آية رقم 21

Wanakishuhudia walio karibishwa.
آية رقم 22

Hakika watu wema bila ya shaka watakuwa katika neema.
آية رقم 23

Wakae juu ya viti vya enzi wakiangalia.
آية رقم 35

Nao wako juu ya viti vya enzi wakiangalia.
تقدم القراءة