سورة الأنبياء

Ali Muhsin Al - Swahili translation

来自 Ali Muhsin Al - Swahili translation 的 السواحلية 版 众先知章 章翻译

Ali Muhsin Al - Swahili translation


Lau wangeli kuwamo humo miungu wengine isipo kuwa Mwenyezi Mungu basi bila ya shaka hizo mbingu na ardhi zingeli fisidika. Subahana 'Llah Ametakasika Mwenyezi Mungu, Bwana wa A'rshi (Kiti cha Enzi), na hayo wanayo yazua.

Na wanasema: Arrahman, Mwingi wa Rehema, ana mwana! Subhanahu, Ametakasika na hayo! Bali hao (wanao waita wana) ni watumwa walio tukuzwa.

Na wanapo guswa na mpulizo mmoja tu wa adhabu itokayo kwa Mola wako Mlezi, bila ya shaka wao husema: Ole wetu! Hakika tulikuwa wenye kudhulumu.

Wao walimkusudia maovu, lakini Sisi tukawafanya wao ndio walio khasiri.
تقدم القراءة