سورة نوح

Ali Muhsin Al - Swahili translation

来自 Ali Muhsin Al - Swahili translation 的 السواحلية 版 努哈章 章翻译

Ali Muhsin Al - Swahili translation

Verse 14

Na hali Yeye kakuumbeni daraja baada ya daraja?

Mola wangu Mlezi! Nighufirie mimi na wazazi wangu, na kila aliye ingia nyumbani mwangu kuwa ni mwenye kuamini, na Waumini wote wanaume, na Waumini wanawake. Na wala usiwazidishie walio dhulumu ila kupotea.
تقدم القراءة