سورة فصلت

Ali Muhsin Al - Swahili translation

来自 Ali Muhsin Al - Swahili translation 的 السواحلية 版 奉妥来特 章翻译

Ali Muhsin Al - Swahili translation

Verse 2

Uteremsho huu umetoka kwa Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.

Kitoacho khabari njema, na chenye kuonya. Lakini wengi katika wao wamepuuza; kwa hivyo hawasikii.

Basi hapana shaka tutawaonjesha hao walio kufuru adhabu kali, na hapana shaka tutawalipa malipo mabaya ya yale waliyo kuwa wakiyafanya.
تقدم القراءة