وَمَا ذَٰلِكَ عَلَى ٱللَّهِ بِعَزِيزٖ
Na hilo si gumu kwa Mwenyezi Mungu.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na halikuwa hili la kuwaangamiza nyinyi na kuwaleta viumbe wasiokuwa nyinyi ni jambo lisiowezekana kwa Mwenyezi Mungu, bali hilo ni jambo jepesi na rahisi
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس