ٱلَّذِيٓ أَطۡعَمَهُم مِّن جُوعٖ وَءَامَنَهُم مِّنۡ خَوۡفِۭ
Ambaye anawalisha wasipate njaa, na anawalinda na khofu.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Ambaye Amewapa wao chakula wakati wa njaa kali na akawapa amani na utulivu kutokana na kicho kikubwa na babaiko.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس