عَٰلِمُ ٱلۡغَيۡبِ وَٱلشَّهَٰدَةِ ٱلۡعَزِيزُ ٱلۡحَكِيمُ
Mwenye kujua siri na dhaahiri, Mwenye nguvu, Mwenye hikima.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na Yeye, kutakasika na kila upungufu ni Kwake, ni Mjuzi wa kila lililofichika lisionekane na lile lililojitokeza likaonekana, ni Mshindi Asiye na mshindani, ni Mwingi wa hekima katika maneno Yake na matendo Yake.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس