هُدٗى وَرَحۡمَةٗ لِّلۡمُحۡسِنِينَ
Kuwa ni Uwongofu na Rehema kwa wafanyao wema,
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Aya hizi ni uongofu na ni rehema kwa waliofanya vizuri kuyafiuata kivitendo yale yaliyoteremshwa katika Qur’ani na aliyowaamrisha kwayo Mtume wao Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس