ثُمَّ أَخَذۡتُ ٱلَّذِينَ كَفَرُواْۖ فَكَيۡفَ كَانَ نَكِيرِ
Kisha nikawakamata walio kufuru. Basi kuchukia kwangu kulikuwaje?
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Kisha nikawakamata wale waliokanusha na kuwapa aina mbalimbali za adhabu. Basi angalia kulikuwa namna gani kukataa kwangu matendo yao na kule kuwashukia wao mateso yangu?
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس