وَٱلَّيۡلِ إِذَا سَجَىٰ
Na kwa usiku unapo tanda!
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na kwa usiku utuliapo na viumbe na likashadidi giza lake. Mwenyezi Mungu Huapa kwa Atakacho katika viumbe vyake. Ama kiumbe, hafai kuapa kwa asiyekuwa Muumba wake. Kuapa kwa asiyekuwa Mwenyezi Mungu ni ushirikina.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس