وَيَمۡنَعُونَ ٱلۡمَاعُونَ
Nao huku wanazuia msaada.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na wanakataa kuwaazima watu vitu ambavyo hawadhuriki kwa kuviazima, kama vyombo vya kutumia na vinginevyo. Wao hawakujifanyia wema nafsi zao kumuabudu Mola wao wala hawakuwafanyia wema viumbe Vyake.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس