وَإِن يَكُن لَّهُمُ ٱلۡحَقُّ يَأۡتُوٓاْ إِلَيۡهِ مُذۡعِنِينَ
Na ikiwa haki ni yao, wanamjia kwa kut'ii.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na iwapo haki iko upande wao, basi wao wanakuja kwa Nabii, rehema na amani zimshukie, wakiwa watiifu na kuwa tayari kuiandama hukumu yake, kwa kutambua kwao kwamba yeye atatoa uamuzi wa haki.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس