ثُمَّ يُعِيدُكُمۡ فِيهَا وَيُخۡرِجُكُمۡ إِخۡرَاجٗا
Kisha atakurudsheni humo na atakutoeni tena.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
kisha Atawarudisha humo ardhini baada ya kufa, na Awatoe Siku ya kufufuliwa kuwatoa kihakika.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس