۞وَلَقَدۡ وَصَّلۡنَا لَهُمُ ٱلۡقَوۡلَ لَعَلَّهُمۡ يَتَذَكَّرُونَ
Na sasa kwa yakini tumewafikishia Neno ili wapate kukumbuka.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na kwa hakika, tuliifafanua na kuieleza Qur’ani kwa kuwaonea huruma watu wako, ewe Mtume, huenda wao wakakumbuka na wakawaidhika nayo.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس