وَٱلَّذِينَ كَفَرُواْ وَكَذَّبُواْ بِـَٔايَٰتِنَآ أُوْلَـٰٓئِكَ أَصۡحَٰبُ ٱلۡجَحِيمِ
Na wale walio kufuru na wakakanusha Ishara zetu, hao ndio watu wa Motoni.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na wale waliokanusha upweke wa Mwenyezi Mungu unaoijulisha haki iliyo waziwazi na wakazikanusha dalili zake walizokuja nazo Mitume, hao ndio watu wa Motoni watakaosalia humo.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس