وَشَاهِدٖ وَمَشۡهُودٖ
Na kwa shahidi na kinacho shuhudiwa!
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na kwa shahidi, mwenye kutoa ushahidi, na mwenye kutolewa ushahidi juu yake. Mwenyezi Mungu Huapa kwa Anachokitaka. Lakini kiumbe hafai kuapa kwa asiyekuwa Mwenyezi Mungu. Kuapa kwa asiyekuwa Mwenyezi Mungu ni ushirikina.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس