نُمَتِّعُهُمۡ قَلِيلٗا ثُمَّ نَضۡطَرُّهُمۡ إِلَىٰ عَذَابٍ غَلِيظٖ
Tunawastarehesha kwa uchache, kisha tutawasukuma kwenye adhabu ngumu.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Tutawastarehesha wao kwenye ulimwengu huu wenye kutoweka kwa muda mchache, kisha Siku ya Kiyama tutawawapeleka kwa nguvu na kuwaongoza kwenye adhabu yenye kitisho, nayo ni adhabu ya Jahanamu.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس