وَأَنَّا ظَنَنَّآ أَن لَّن تَقُولَ ٱلۡإِنسُ وَٱلۡجِنُّ عَلَى ٱللَّهِ كَذِبٗا
Nasi tulidhani kuwa watu na majini hawamzulii uwongo Mwenyezi Mungu.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
«Na kwamba sisi tulidhani kuwa hakuna yoyote atakayemzulia Mwenyezi Mungu Aliyetukuka urongo, si katika binadamu na si katika majini, wa kumnasibishia Yeye mke na mtoto.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس