ٱلَّذِينَ يُقِيمُونَ ٱلصَّلَوٰةَ وَمِمَّا رَزَقۡنَٰهُمۡ يُنفِقُونَ
Hao ambao wanashika Sala na wanatoa katika yale tunayo waruzuku.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Wale ambao wanaendelea kutekeleza Swala zilizofaradhiwa kwa nyakati zake, na katika kile tulichowaruzuku wanatoa kwenye yale tuliyowaamrisha.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس