ثُمَّ قِيلَ لَهُمۡ أَيۡنَ مَا كُنتُمۡ تُشۡرِكُونَ
Tena wataambiwa: Wako wapi mlio kuwa mkiwashirikisha
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Kisha waambiwe kwa kuwasimanga, na wao wako kwenye hali hii ya unguliko , «Wako wapi waungu mliokuwa mkiwaabudu.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس