فَذُوقُواْ عَذَابِي وَنُذُرِ
Basi onjeni adhabu na maonyo yangu!
Ali Muhsin Al - Swahili translation
na wakaambiwa, «Onjeni adhabu yangu niliyowateremshia nyinyi kwa sababu ya ukafiri wenu na ukanushaji wenu onyo langu alilowaonya nalo Lūṭ, amani imshukie.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس