وَأَلَّوِ ٱسۡتَقَٰمُواْ عَلَى ٱلطَّرِيقَةِ لَأَسۡقَيۡنَٰهُم مَّآءً غَدَقٗا
Na lau kama wangeli simama sawasawa juu ya njia tungeli wanywesha maji kwa wingi,
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na lau makafiri wa kibinadamu na kijini wangalifuata njia ya Uislamu na wasijiepushe nayo, tungaliwateremshia maji mengi na tungaliwakunjulia riziki duniani,
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس