يَعۡلَمُ خَآئِنَةَ ٱلۡأَعۡيُنِ وَمَا تُخۡفِي ٱلصُّدُورُ
(Mwenyezi Mungu) anajua khiyana ya macho na yanayo ficha vifua.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Mwenyezi Mungu, Aliyetakasika na kila sifa ya upungufu, Anakijua kile kinachopitishwa na maangalizi ya macho kwa njia ya siri na kuiba na kile ambacho mtu anakidhamiria katika nafsi yake kizuri au kibaya.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس