فَفَتَحۡنَآ أَبۡوَٰبَ ٱلسَّمَآءِ بِمَآءٖ مُّنۡهَمِرٖ
Basi tukaifungua milango ya mbingu kwa maji yanayo miminika.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Basi tukayakubali maombi yake, na tukafungua milango ya mbingu kwa maji mengi yenye kuteremka kwa nguvu,
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس