إِنَّآ أَرۡسَلۡنَا عَلَيۡهِمۡ رِيحٗا صَرۡصَرٗا فِي يَوۡمِ نَحۡسٖ مُّسۡتَمِرّٖ
Hakika Sisi tuliwapelekea upepo wa kimbunga katika siku korofi mfululizo,
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Hakika sisi tuliwapelekea upepo wenye baridi kali katika siku korofi yenye kuendelea kwao kwa adhabu na maangamivu,
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس