حِكۡمَةُۢ بَٰلِغَةٞۖ فَمَا تُغۡنِ ٱلنُّذُرُ
Hikima kaamili; lakini maonyo hayafai kitu!
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Hii Qur’ani iliowajia ni hekima kubwa iliyofikia upeo. Basi yatawafalia nini maonyo wale watu waliyoipa mgongo na kuikanusha?
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس