ترجمة سورة قريش

Ali Muhsin Al - Swahili translation
ترجمة معاني سورة قريش باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation .

Kuraish


Kwa walivyo zoea Maqureshi,

Kuzoea kwao safari za siku za baridi na siku za joto.

Basi nawamuabudu Mola Mlezi wa Nyumba hii,

Ambaye anawalisha wasipate njaa, na anawalinda na khofu.
Icon