ترجمة معاني سورة النجم باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

آية رقم 15

Karibu yake ndiyo ipo Bustani inayo kaliwa.
آية رقم 21

Je! Nyinyi mnao wana wanaume na Yeye ndio awe na wanawake?
آية رقم 25

Mwenyezi Mungu tu ndiye Mwenye dunia na Akhera.
آية رقم 38

Ya kwamba hakika nafsi iliyo beba madhambi haibebi madhambi ya mwengine?
آية رقم 48

Na kwamba ni Yeye ndiye anaye tosheleza na kukinaisha.
آية رقم 49

Na kwamba hakika Yeye ndiye Mola Mlezi wa nyota ya Shii'ra.
آية رقم 50

Na kwamba Yeye ndiye aliye waangamiza A'di wa kwanza,
آية رقم 53

Na miji iliyo pinduliwa, ni Yeye aliye ipindua.
آية رقم 55

Basi neema gani ya Mola wako Mlezi unayo ifanyia shaka?
تقدم القراءة