ترجمة معاني سورة القلم باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

آية رقم 5

Karibu utaona, na wao wataona,
آية رقم 6

Ni nani kati yenu aliye pandwa na wazimu.
آية رقم 9

Wanatamani lau unge lainisha ili nao wakulainishie.
آية رقم 12

Mwenye kuzuia kheri, dhaalimu, mwingi wa madhambi,

Hakika tumewajaribu hawa kama tulivyo wajaribu wale wenye shamba, walipo apa kwamba watayavuna mazao yake itakapo kuwa asubuhi.
آية رقم 18

Wala hawakusema: Mungu akipenda!
آية رقم 20

Likawa kama usiku wa giza.
آية رقم 23

Basi walikwenda na huku wakinong'onezana,
آية رقم 25

Na walikwenda asubuhi, nao wameshikilia azimio hilo.
آية رقم 29

Wakasema: Ametakasika Mola wetu Mlezi! Hakika sisi tulikuwa wenye kudhulumu.
آية رقم 35

Kwani tutawafanya Waislamu kama wakosefu?
آية رقم 50

Lakini Mola wake Mlezi alimteua na akamfanya miongoni mwa watu wema.
تقدم القراءة