ترجمة معاني سورة النبأ باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

آية رقم 9

Na tukakufanya kulala kwenu ni mapumziko?
آية رقم 11

Na tukaufanya mchana ni wa kuchumia maisha?
آية رقم 13

Na tukaifanya taa yenye mwanga na joto;
آية رقم 16

Na mabustani yenye miti iliyo kamatana.
آية رقم 22

Kwa walio asi ndio makaazi yao,
آية رقم 33

Na wake walio lingana nao,
تقدم القراءة