ترجمة معاني سورة النازعات باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

آية رقم 1

An-Nazi'at


Naapa kwa wanao komoa kwa nguvu,
آية رقم 2

Na kwa wanao toa kwa upole,
آية رقم 14

Mara watakuwa kwenye uwanda wa mkutano!
آية رقم 19

Nami nitakuongoa ufike kwa Mola wako Mlezi, upate kumcha.
آية رقم 21

Lakini aliikadhibisha na akaasi.
آية رقم 22

Kisha alirudi nyuma, akaingia kufanya juhudi.
آية رقم 25

Basi hapo Mwenyezi Mungu akamshika kumuadhibu kwa la mwisho na la mwanzo.
آية رقم 28

Akainua kimo chake, na akaitengeneza vizuri.
آية رقم 29

Na akautia giza usiku wake, na akautokeza mchana wake.
تقدم القراءة